Wanasema inawezekana kisiwa kikawa cha kwako lakini maji ninayamiliki mimi.
Kaka usijali sana kuhusu huyo. Cha kujiuliza ni kuwa angekuwaje kama asingekuwa nayo hiyo. Nadhani uso ungekuwa "chekecheo" kwa uharibifu wake. Hapo ndipo "malenga" waliposema "HERI NUSU SHARI KULIKO SHARI KAMILI" Blessings
polee wenzio wamejaza wodi ya mifupa pale moi
Kaka usijali sana kuhusu huyo. Cha kujiuliza ni kuwa angekuwaje kama asingekuwa nayo hiyo. Nadhani uso ungekuwa "chekecheo" kwa uharibifu wake.
ReplyDeleteHapo ndipo "malenga" waliposema "HERI NUSU SHARI KULIKO SHARI KAMILI"
Blessings
polee wenzio wamejaza wodi ya mifupa pale moi
ReplyDelete