Wanasema inawezekana kisiwa kikawa cha kwako lakini maji ninayamiliki mimi.
Anataka kuwa kama baba kaazi kwelikweli!!
huyu mtoto asipoangalia atakuwa na ndevu za kunyoa saa moja asubuhi saa nne baadaye zimeota tena.
hivi watoto wa kiume huwaigiza baba zao kunyoa ndevu, je watoto wa kike?
Anataka kuwa kama baba kaazi kwelikweli!!
ReplyDeletehuyu mtoto asipoangalia atakuwa na ndevu za kunyoa saa moja asubuhi saa nne baadaye zimeota tena.
ReplyDeletehivi watoto wa kiume huwaigiza baba zao kunyoa ndevu, je watoto wa kike?
ReplyDelete