Zilikuwa mbio za kufa mtu.
Ukatumika ujanja wa mchezo wa soka,unaona bwana!!!!
Analazimishwa kuelekea ulipo mtego.
Hatimaye akaona humu ndio salama yake,kumbe!!
Amepatikana sasa kinachofuta ni.......
Wengine wamekamatwa kwa mtindo kama huu wamehifadhiwa kwenye kiroba.
Miguu pamoja na mikia inatenganishwa kwa kutumia kisu chenye ukali wa kutosha tu.
Mkia huo unakatwa mdau.
Mikia ya kenge hao ikiwa katika sahani
Ameshachunwa ngozi sasa hivi ndivyo anavyoonekana.
Kenge hao wakiwa tayari wameshachunwa ngozi kama wanavyoonekana mdau.
Kazi ya kuwakata kata imeanza ambapo unaandaliwa msosi wa mchana mdau.
Chakula kipo tayari kwaajili ya kuliwa mdau.
Hii ndiyo biriyani ya kenge mdau,unaonaje?
Karibu kula tuliliwaze tumbo mdau.....
Mambo yenyewe ndo kama haya basi kuanzia leo naacha kula nyama. Mimi na matembele pia kisamvu bila kusahau mboga za maboga.
ReplyDeleteUnagiza tuuu hotelini, kisha unasifia ladha ya "nyama za huku" bila kujua huku ni wapi na kwao nyama ni nini. Lol
ReplyDeleteMwendo wa majani majani tuuu. Nyama si afya
That was the most disgusting meal i ever saw,can't belive ppl eat that?!!lol
ReplyDelete