Oprah Winfrey ambaye anaripotiwa kutengana na mpenzi wake wa muda mrefu Stedman Graham ameweka bayana kuwa ana mzimia kijana mcheshi Jay-Z kutokana na kuwa jamaa ananukia vizuri (Manukato).
Sijui lakini mi mgeni jamani maeneo hayo, ila sijui mama huyu ataweza moto wa Beyonce ??
haki ya nani vile, nakueleza ukweli ingekuwa ndo wanaume wa bongo angeanza kujigonga kisa kaambiwa ananukia
ReplyDeletetehe, tehe, tehe
Sasa huyu mzee atamnufaisha huyu kijana Jay-Z?Aturie jamani !!!
ReplyDelete