Wanasema inawezekana kisiwa kikawa cha kwako lakini maji ninayamiliki mimi.
kwani hilo la juu kabisa unaruhusiwa kwenda na jiko la mchina, kikaangio (frying pan), mafuta ya kupikia (kukaangia) na chumvi? LOL. you made my day!
Hata mie nachagua hilo cha Juu maana lina uhondo...lol
Mie hicho cha manyoka
mi nachagua ilo la mayai
me pia nachagua hlo la mayai bt yasiwe mavinza.....duh!!!!!
kwani hilo la juu kabisa unaruhusiwa kwenda na jiko la mchina, kikaangio (frying pan), mafuta ya kupikia (kukaangia) na chumvi? LOL. you made my day!
ReplyDeleteHata mie nachagua hilo cha Juu maana lina uhondo...lol
ReplyDeleteMie hicho cha manyoka
ReplyDeletemi nachagua ilo la mayai
ReplyDeleteme pia nachagua hlo la mayai bt yasiwe mavinza.....duh!!!!!
ReplyDelete