Wanasema inawezekana kisiwa kikawa cha kwako lakini maji ninayamiliki mimi.
Thursday, June 4, 2009
MIYOMBONI KATI KATI YA MJI WA IRINGA.
Moja kati ya maeneo ambayo yako bize sana huku Iringa,kuna biashara kama unavyowaona hao kina mama wakinunu vitu mbalimbali kwa buku (shilingi 1000 tu.)
No comments:
Post a Comment