Wanasema inawezekana kisiwa kikawa cha kwako lakini maji ninayamiliki mimi.
Ama kweli huu ni ubunifu kweli. Je ni muda gani ilichukua kujenga nyumba hiyo?
mdau kweli hapa jamaa walibuni, vipi kuhusu matirial zilizotumika kwenye ujenzi huu?
ubunifu umefanyika katika kuchora sio kujenga. it is an artwork not a civil one, according to me, but.
Ama kweli huu ni ubunifu kweli. Je ni muda gani ilichukua kujenga nyumba hiyo?
ReplyDeletemdau kweli hapa jamaa walibuni, vipi kuhusu matirial zilizotumika kwenye ujenzi huu?
ReplyDeleteubunifu umefanyika katika kuchora sio kujenga. it is an artwork not a civil one, according to me, but.
ReplyDelete