Wanasema inawezekana kisiwa kikawa cha kwako lakini maji ninayamiliki mimi.
That's right. Nashukuru kuwa kwa kuweka haya unaigusa jamii kujua ukweli wa kutodharau na kuwatenga wenye uhitaji. Blessings
Ni kweli kabisa! kuna walemavu wengi sana afrika ambao wanafichwa.Inaonekana hawajui kuwa huu pia ni ubaguzi mkubwa tu. Ahsante kwa hili.
vipi mbona hampo tena????????????? au net mpaka tar 3 august?! balaaa
Duh!! Naamini mko salama. Lakini nahisi si ninyi, bali ni mtandao maeneo ya huko kwani naona "line" ya Iringa ime-freeze tangu Jul 22. Be safe out there
Yeah kiukweli inahamasisha,wanahitaji ukariribu na upendo pia.
That's right. Nashukuru kuwa kwa kuweka haya unaigusa jamii kujua ukweli wa kutodharau na kuwatenga wenye uhitaji.
ReplyDeleteBlessings
Ni kweli kabisa! kuna walemavu wengi sana afrika ambao wanafichwa.Inaonekana hawajui kuwa huu pia ni ubaguzi mkubwa tu. Ahsante kwa hili.
ReplyDeletevipi mbona hampo tena????????????? au net mpaka tar 3 august?! balaaa
ReplyDeleteDuh!! Naamini mko salama. Lakini nahisi si ninyi, bali ni mtandao maeneo ya huko kwani naona "line" ya Iringa ime-freeze tangu Jul 22.
ReplyDeleteBe safe out there
Yeah kiukweli inahamasisha,wanahitaji ukariribu na upendo pia.
ReplyDelete